Habari Rfi-ki
EAC : Wanasiasa wanatumia wahuni kujihami
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:03
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika makala haya tujadili hatua ya ongezeko la visa vya wanasiasa wa upande wa serikali na upinzani kutumia makundi ya vijana au wahuni kutisha na kuvuruga mikutano ya mahasimu wao wa kisiasa hili likifanyika hata kwenye mitandao. Tunakuliza unafikiri kwa nini wanasiasa wanaendelea kutumia makundi ya vijana au wahuni katika siasa. skiza makala haya.