Habari Rfi-ki

Vita vyashuhudiwa DRC licha ya makubaliano ya kustisha vita kufanyika

Informações:

Sinopsis

Licha ya viongozi wa DRC na Rwanda kutia saini mkataba wa amani juma lililopita, mapigano yameripotiwa mashariki mwa Congo kati ya waasi wa M23 na jeshi la Serikali FARDC.Tulimuuliza mskilizaji Je hii ni ishara kuwa mkataba waliotia saini haujazaa matunda ,nani wakuwajibishwa kwa kinachotokea na  Nini kifanywe kuleta utulivu mashariki mwa Congo,,