Habari Rfi-ki

Tanzania: Rais Samia awaonya mabalozi

Informações:

Sinopsis

katika makala  haya  tunajadailki hatua ya rais wa rais wa #Tanzania #SamiaSuluhuHassan , kuwaonya makutoa ya pamoja  taarifa kulaani matukio ya utekaji na mauaji dhidi ya wakosoaji wa Serikali yake.  Je unafikiri kauli Samia ni sahihi?Ndilo swali tumekuuliza, na haya hapa baadhi ya maoni yako.