Gurudumu La Uchumi

Ukulima wa matunda Kenya na changamoto zake

Informações:

Sinopsis

Makala ya Gurudumu la Uchumi, juma hili inaangazia kilimo cha matunda nchini Kenya, na namna wakulima wa nchi hiyo, wameendelea kukumbatia mbinu mpya za kilimo, uvunaji na usindikaji.