Gurudumu La Uchumi
Tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:55
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, mtayarishaji wa makala haya amezungumza na Profesa Wetengere Kitojo, mtaalamu wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania, ambapo wanaangazia kuhusu tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki.