Gurudumu La Uchumi

Tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki

Informações:

Sinopsis

Katika Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, mtayarishaji wa makala haya amezungumza na Profesa Wetengere Kitojo, mtaalamu wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania, ambapo wanaangazia kuhusu tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki.