Sbs Swahili - Sbs Swahili

Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki

Informações:

Sinopsis

Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.